3 Bedrooms House for sale in Mbagala Chamaz, Dar Es Salaam

Amenities
Description
Mbagala chamaz dar es wilaya ya temeke kata ya chamaz mtaa wa dovya Ina vyumba vitatu vya kulala vyumba viwili ni masters bedroom ina stting room na dainingi room na jiko pamoja na public toilet ina maji na umeme upo wa luku Ukubwa wa eneo sqmt 450
Ina documents Safi za mauziano ya office ya serikali ya mtaa
Ukiwa serious uwezi kuiyacha kabisa boss wangu aipo mbali na bara bara kuu ya lami
Bei tsh mil 75 tu
Kwa maelekezo zaidi nipigie CM au nicheki WhatsApp 🇹🇿 0652 618 143 0759 203175 🇹🇿















