3 Bedrooms House for Sale in Mbagala Chamazi, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 65,000,000

Type

House

Bedrooms

3

Amenities

Water Supply
Electricity
Kitchen Cabinets
Sitting Room
Dining Room
Store Room

Description

NYUMBA INAUZWA – MBAGALA CHAMAZI (MTAA WA DOVYA)

Nyumba inauzwa kwa bei ya Tsh milioni 65 (maongezi yapo).
Ipo Mbagala Chamazi, mtaa wa Dovya, eneo zuri na linalokua kwa kasi.

🔹 Ina vyumba 3 vya kulala
🔹 Chumba 1 Master Bedroom
🔹 Sitting room na Dining room
🔹 Jiko la kisasa
🔹 Public toilet
🔹 Store
🔹 Huduma ya maji ipo

➕ Ina frame 3–3 pamoja na banda la vyumba 3 (fursa nzuri kwa upangishaji).

🏡 Nyumba ya kitajili na ya kisasa kabisa, imejengwa kwa ubora mzuri.

⚠️ Mwenyewe kavurugwa mno
👉 Hasara kwa muuzaji – faida kwa mnunuzi

📍 Njoo site ukague bila kukosa
📞 Kwa maelezo zaidi, wasiliana nami.(0683 665504)