Search

3 Bedrooms House for sale in Mbagala Chamazi Kwa Mkongo, Dar Es Salaam

Sh. 33,000,000

Description

🏑 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – MBEI NI MILIONI 33 TU! 🏑

Unamaliziwa kila kitu kwa makubaliano na mwenye nyumba.

πŸ“ Mahali: Mbagala Chamazi Kwa Mkongo
πŸ›£οΈ Dakika 3 tu kutoka barabara kuu ya lami.

Sifa za nyumba:
βœ… Vyumba 3 vya kulala (kimoja ni Master Bedroom)
βœ… Sitting Room
βœ… Dining Room
βœ… Jiko
βœ… Maji yanapatikana
βœ… Nyumba ya kisasa yenye mazingira mazuri

Hii ni fursa nzuri ya kupata nyumba bora kwa bei nafuu.

πŸ“ž Njoo site, tazama mwenyewe, ukague na ulipie!

Kwa maelezo zaidi, piga simu: 0683 665504