3 Bedrooms House for sale in Tabata Segerea, Dar Es Salaam

Amenities
Description
π‘ NYUMBA YA BIASHARA INAUZWA β TABATA SEGEREA , DAR ES SALAAM π‘
π° Bei: Milioni 170 Tu
π Umiliki: Hati Miliki
Nyumba hii ni fursa adimu ya uwekezaji yenye makusanyo ya uhakika kila mwezi.
β
Kuna nyumba 2 ndani ya kiwanja kimoja, zikiwa zimefanyiwa partition na kila nyumba ina:
β’ Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master)
β’ Sebule
β’ Jikoni
β’ Choo cha Public
β
Pia kuna fremu 3 za biashara zinazofanya kazi vizuri.
π΅ Makusanyo ya sasa:
β’ Kila fremu β Tsh 150,000 kwa mwezi
β’ Kila nyumba β Tsh 500,000 kwa mwezi
π Ipo Tabata Segerea, takribani mita 600 kutoka barabara kuu.
β Bado kuna nafasi kubwa ya kutanua na kuongeza nyumba au fremu nyingine za biashara ili kuongeza mapato zaidi.
Hii ni fursa nzuri kwa mwekezaji anayehitaji mali yenye mapato ya uhakika na uwezekano wa kukuza biashara zaidi.
Karibu Tajiri!
π Simu: 0688412890
π° Service Charge: 30,000/=
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















