2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







Description
🇹🇿CLASSIC_APARTMENT#INAPANGISHWA<br/>📍Kimara korogwe<br/>🕛Umbali wa kutuka stand ya mwendo kasi km 1 usafili bodaboda 1000 tu.<br/>Kwa mguu dakika 15 tu. <br/><br/>👉AINA YA 1:<br/>Vyumba viwili, vya kulala <br/>🔹Sebule<br/>🔹Jiko<br/>🔹Public Toilet ndani<br/>🔹Umeme LUKU yake & Maji yanatoka ndani<br/>♦Kodi 500,000/= miezi kuazia 5 mpaka 6<br/><br/>👉AINA YA 2:<br/>Vyumba viwili, vya kulala <br/>🔸Sebule<br/>🔸Jiko<br/>🔸Public Toilet ndani<br/>🔸Umeme LUKU yake & Maji yanatoka ndani<br/>♦Kodi 400,000/= miezi kuazia 5 mpaka 6<br/><br/>👉AINA YA 3:<br/>Chumba kimoja master<br/>🌲Sebule<br/>🌲Jiko<br/>🌲 Umeme & Maji – Inajitegemea maji yanatoka ndani masaa 24<br/>♦Kodi 300,000/= miezi kuazia 5 hadi 6<br/><br/>👉 SIFA ZA ZOTE<br/>*Tank za Maji za kutosha<br/>* UMEME kila mtu ana jitegemea <br/>* Maji Ndani miter inajitegemea <br/>* Nyumba zipo ndani ya fensi <br/>* Car Parking kubwa <br/>* Nyumba zinakuwa tayali kuingia tar 28/12/2025 kuona na kufanya malipo luksa kabisa.<br/><br/>🔹Umbali wa kutuka stand ya mwendo kasi km 1 usafili bodaboda 1000 tu.<br/>🔹Kwa mguu dakika 15 tu. <br/><br/>📌ZINGATIA: Gharama<br/>👉Nyumba unayo chukua kodi ya mwezi mmoja hela ya udalali utalipa <br/>♦Malipo ya Dalali Tsh 500k/400k 300k<br/>♦Service Charge kuona 20,000/=<br/><br/>#Piga_simu👇<br/><br/>0712528820<br/>0685221354<br/><br/>#0.&Whatsapp<br/><br/>#please #Follow us..🙏















