2 Bedrooms House for Rent in Madale Mbopo Road, Dar Es Salaam
Description
π NYUMBA INAPANGISHWA π
(Zipo mbili tu kwenye fensi)
π Mahali: Madale Mbopo Road
π° Kodi: TSh 500,000/= kwa mwezi (Malipo ya miezi 6)
Sifa na Muundo wa Nyumba:
π» Vyumba viwili vya kulala (Vyote ni Masta)
π» Sebule kubwa na ya kisasa
π» Jiko lenye makabati (Cabinets)
π» Choo cha wageni (Public Toilet)
π» AC & Fans zimefungwa
π» Paving blocks uwanjani
π» Fensi yenye Electric Fence & Remote Gate
π» CCTV Cameras kwa ulinzi zaidi
π Mawasiliano / WhatsApp:
π±
Ig Account: @dalaliuhuru_mbweni
#NyumbaZaKupanga #MadaleMbopo #Madale #NyumbaZinapangishwa #RealEstateTanzania DalaliUhuruMbweni NyumbaZaKisasa DarEsSalaam RealEstate NyumbaMbweni DalaliTanzania















