2 Bedrooms House for Rent at Makongo, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 800,000

Type

House

Bedrooms

2

Description

*2 Bedrooms House inapangishwa Makongo Juu, CCM*

* Nyumba ya kupanga itakuwa wazi kupangishwa 27/01/2026 📍Makongo Juu, karibu na kituo Cha bus CCM. Unaruhusiwa kwenda kuangalia mazingira ya nje ya nyumba.

* Ndani ya fensi kuna Nyumba mbili, kila Nyumba inajitegemea luku, maji.

* Nyumba ina vyumba viwili (master bedroom yenye choo na bafu), dinning na sitting room, kitchen na store yake pamoja na public.

* Kuna car parking kubwa ya kutosha.

*Kodi kwa mwezi ni 800,000, * Kodi kuanzia miezi sita

Dalali silaa
0742260844
0657384670