2 Bedrooms House for Rent in Mbezi Beach, Dar Es Salaam
Mbezi, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 600,000/month
Description
Nyumba hii ni
Kubwa ukubwa ni vyumba viwili kulala kimoja ni masta kubwa sana
Sebule ipo kubwa sana
Jiko lipo kubwa sana maji mita yako pekeyako
Luku yako pekeyako
Kwenye fensi zipo nyumba mbili tuu
Kodi sh laki 6 // π
Ilipo njia ya mbezi bechi kituo ni mubuyuni
Umbali ni dakika 7 kwa miguu
#















