2 Bedrooms House for Rent in Sinza, Dar Es Salaam

Description
NYUMBA
@
Inapangishwa
@
Bei 350.000 kwa mwez
@
Kwa ofis sh 500.000 kwa mwez
@
Malipo miez 6 Na dalali 7
@
Ni nyumba.ya vyumba 2 sebule choo
@
Chumba kimoja master umeme mita yake maji shea
@
Parkingi IPO
@
Karibu Sanaa ofisni kwetu sinza LEGO
@
Garama ya kupelekwa Ni sh 30000
@
Kwa mawasiliano ya Sm 0756999550
@
Namba ya wasp 0659848687















