2 Bedrooms House for Sale in Kijichi - Miande, Dar Es Salaam (1.5 acre)

Description
🏤NYUMBA YA KISASA INAUZWA Mahali: Kijichi - Miande Ukubwa wa eneo: Heka moja na nusu 🧾Hati: Hati ya Wizara (clean & ready transfer) Sifa za Nyumba Kuu: Vyumba 2 vya kulala (kimoja self contained) Sebule kubwa na yenye mwanga wa kutosha Dining area Jiko la kisasa lenye makabati Public toilet Nyongeza (Servant Quarter): Chumba kimoja cha nje na kina choo chake Public toilet Chumba cha kufulia (Laundry) Eneo ni tulivu, salama na linafikika kwa urahisi - linafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji wa thamani. 💰Bei: Bilioni 2.5 TZS (maongezi ......yapo sana) Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba ya ndoto zako Kijichii! KWA MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE ☎️📲📞 0753999903















