Search

2 Bedrooms House for sale in Tabata Segerea, Dar Es Salaam

Sh. 1,200,000,000

Description

KIJIJI-NYUMBA 22,TZS.1.2 BILIONI,TABATA SEGEREA.

Nyumba nyingi, nzuri ndani ya Kiwanja kimoja.

Kila moja ina vyumba vya kulala viwili 2 (Masta 1)
Pia Sebule, Jiko na Choo cha Familia ndani.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM.6,300.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.

Kila nyumba inajitegemea Umeme na Maji.

Zina Wapangaji kwa Sasa.

Kodi ni Tzs.400,000/Mwezi kila moja.
Hivyo, basi Kodi ni zaidi ya MILIONI NANE/MWEZI.

_______________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuina ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_______________mpg

Similar properties in Segerea, Dar Es Salaam