Search

2 Bedrooms House for Sale in Tabata Segerea, Dar Es Salaam

Sh. 160,000,000

Description

🏢 NYUMBA ZA BIASHARA ZINAUZWA – TABATA SEGEREA, DAR ES SALAAM 🏢

💰 Bei: Milioni 160
📍 Location: Tabata Segerea

Fursa nzuri kwa mwekezaji anayehitaji mali inayoingiza kipato mara moja!

✅ Nyumba 2 zipo ndani ya compound moja.
✅ Kila nyumba ina:

* Vyumba 2 vya kulala (1 Master)
* Sebule
* Jiko
* Choo cha Public

🚰 Maji ya DAWASA yanapatikana
⚡ Kila nyumba ina mita yake ya umeme
💧 Reserve tank la maji lipo
🚗 Parking ya kutosha
🚪 Geti kubwa na mazingira salama

📍 Zipo umbali wa dakika chache kutoka barabara ya lami, eneo linalokua kwa kasi na linalofaa kwa uwekezaji.

💵 Kwa sasa nyumba zote zimepangishwa na zinaingiza TSh 500,000 kwa mwezi kwa kila nyumba, hivyo unaweza kununua na kuendelea kukusanya kodi mara moja.

🎯 Inafaa kwa:
✔️ Uwekezaji wa nyumba za kupangisha
✔️ Kuongeza kipato cha kila mwezi
✔️ Uwekezaji wa muda mrefu katika eneo lenye ukuaji mkubwa

📄 Nyaraka zipo tayari.

📞 Piga: +255 688 412 890
💵 Gharama ya Huduma: 30,000/=

Karibu Tajiri!
Wahi Sasa Offer Kabambe!
Miliki Kesho Yako Leo!!! 🏡✨

Similar properties in Segerea, Dar Es Salaam

2 Bedrooms House for Sale in Tabata Segerea, Dar Es Salaam

Sh. 1,200,000,000

For Sale2 beds2 bathshouse
6 Bedrooms House for Sale in Tabata Segerea Chama, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Sh. 270,000,000

For Sale6 beds6 baths1,000 sqmhouse
6 Bedrooms House for Sale in Tabata Segerea Chama, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Sh. 270,000,000

For Sale6 beds6 baths1,000 sqmhouse
6 Bedrooms House for Sale in Tabata Segerea Chama, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Sh. 270,000,000

For Sale6 beds6 baths1,000 sqmhouse
6 Bedrooms House for Sale in Tabata Segerea Chama, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Sh. 270,000,000

For Sale6 beds6 baths1,000 sqmhouse
6 Bedrooms House for Sale in Tabata Segerea Chama, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Sh. 270,000,000

For Sale6 beds6 baths1,000 sqmhouse