House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 200,000

Type

House

Description

APARTIMENT INAPANGISHWA KIMARA TEMBONI #200k

Vyumba vya kulala Viwili kimojawapo master bedroom
Sebule kubwa
Choo cha public nje
JIKO kubwa
Kila apartment inajitegemea umeme na maji

BEI:200,000 KWA MWEZI × 6

Inajitegemea umeme, Maji Dawasco yanaflow chooni. Ndani ya fence parking IPO wapangaji 2

Umbali KM 2.5 Bajaji zipo ukishuka unaingia ndani

Kupelekwa kuona Nyumba elfu 15 itadumu mpaka Upate bila kuchajiwa Tena
SIMU 0659336751
WSP 0786085637