House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 200,000

Type

House

Description

Apartment nzuri sana wahi ndugu mteja

Apartment hii inapangishwa KIMARA TEMBONI

Ina chumba kikubwa cha kulala
Sebule kubwa sana kama uwanja wa mpira
Jiko zuri lenye kabati
Na choo kizuri chenye nafasi

Maji yanaflow ndani na unajitegemea
Luku unajitegemea

Kodi 200,000 × 6

Zipo Apartiment 4 na hii moja ndio ipo wazi wahi mapema

Ipo km 1.8 tu kutoka kituoni

Bajaji 700 na ukishuka tu unapiga teke mlango
Bodaboda 1000

Service charge ni shilingi 15,000

Malipo ya dalali ni Mwezi mmoja hakuna mbambamba

#0785889413