House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 200,000

Type

House

Description

(200,000 × 4,5,6) 𝗞𝗜𝗠𝗔𝗥𝗔 𝗧𝗘𝗠𝗕𝗢𝗡𝗜

APARTMENT NZURI YA KISASA YA KIBACHELA INAPANGISHWA 200K × 4,5,6

🇹🇿 KUHUSU MAONGEZI YA MALIPO YAPO YANAONGELEKA NDUGU MTEJA

💥 APARTMENT HII INASIFA KAMA IFATAVYO

#SEBULE KUBWA
#CHUMBA KIKUBWA CHA KULALA
#CHOO KIZURI NDANI

#LUKU INAJITEGEMEA YENYEWE
#MAJI DAWASA YANATOKA NDANI MASAA 24

#PAVING
#CAR PARKING

🏘️APARTMENT HII IPO KIMARA TEMBONI

KUTOKA MOROGORO ROAD HADI KWENYE NYUMBA NI DK 15 KWA MIGUU AU UKIPANDA BAJAJI SH 500 UKISHUKA TUU KWENYE BAJAJI UNATEMBEA DK 2 UPO KWENYE NYUMBA

💰 BEI NI 200K × 4,5,6

* ILIPWE LAKI 2 KWA MWEZI MALIPO YA MIEZI 4,5,6

Service charge ni shilingi 15,000

Malipo ya Dalali ni mwezi mmoja

Contact:
0654101710
0787205300