1 Bedroom House/Apartment for Rent in Buza, Dar Es Salaam

Amenities
Description
๐กโจ APARTMENT INAPANGISHWA โ BUZA
Unatafuta nyumba nzuri, salama na iliyo karibu na barabara kuu ya lami? Hii ndiyo chaguo sahihi kwako!
โ
Sifa za Apartment:
๐๏ธ Chumba kimoja cha Master
๐๏ธ Sebule nzuri na yenye nafasi
๐ฝ๏ธ Jiko la kisasa
โก Umeme (LUKU) wako mwenyewe
๐ง Maji yako mwenyewe
๐ Parking ipo
๐ Eneo zuri, karibu kabisa na barabara kuu ya lami.
๐ฐ Kodi: TSh 250,000 kwa mwezi
๐
Malipo: Miezi 6 mbele
๐ Malipo ya Dalali: Kodi ya mwezi mmoja.
๐ Wasiliana nasi sasa:
0755 100 856 (Simu & WhatsApp)
๐จ NB: Ada ya kuangalia nyumba ni TSh 20,000.
โญ MAKINI REAL ESTATE
Tunakuletea nyumba bora kwa huduma ya uaminifu, uwazi na uhakika.
#MakiniRealEstate #Buza #ApartmentInapangishwa #NyumbaZaKupanga #DarEsSalaam Rental Temeke DalaliMakini















