1 Bedroom House/Apartment for Rent in Changanyikeni, Dar Es Salaam

Description
🏡 APARTMENT INAPANGISHWA – CHANGANYIKENI 📍
📍 Eneo: Changanyikeni – Nyuma ya Mlimani City
✨ Nyumba nzuri, mazingira tulivu na eneo lenye urahisi wa usafiri.
🔑 SIFA ZA NYUMBA
🛏️ Chumba 1 cha kulala (Master Bedroom) chenye choo na bafu ndani.
🛋️ Sebule kubwa na yenye nafasi ya kutosha.
🍽️ Jiko la kisasa lenye makabati yaliyofungwa.
🎁 HUDUMA BILA GHARAMA
💧 Maji – BURE
🛡️ Ulinzi – BURE
⚡ UMEME
💡 LUKU ya kujitegemea (mpangaji atagharamia matumizi yake).
💰 MAELEZO YA KODI
🏠 Kodi: TZS 700,000 kwa mwezi
📅 Malipo: Miezi 3 mbele
💵 Deposit: Kodi ya mwezi 1 (inarejeshwa kulingana na makubaliano ya mkataba).
📌 GHARAMA ZA HUDUMA
👀 Viewing Fee: TZS 20,000 (Unalipa mara moja tu hadi utakapopata nyumba.)
🤝 Dalali/Brokerage Fee: Sawa na kodi ya mwezi 1 (hulipwa tofauti baada ya kufanikiwa kupata nyumba).
📲 MAWASILIANO
📞 Piga simu au WhatsApp:
✨ Wahi kupanga miadi ya kuja kuona nyumba na ujipatie makazi yenye utulivu, huduma muhimu bila gharama za ziada, na eneo zuri nyuma ya Mlimani City lenye usafiri rahisi pamoja na huduma zote muhimu karibu.
📍 Fuata nyumbatz3 kupata matangazo mapya ya nyumba za kupangisha, kuuzwa na viwanja kila siku.
#NyumbaZaKupanga #Changanyikeni #DarEsSalaam #NyumbaTz3 #Apartment RealEstateTanzania
0674198120
0757908120















