2 Bedrooms House/Apartment for sale in Kisota, Kisiwaani, Dar Es Salaam

Type
House
Bedrooms
2
Plot Size
300 SQM
Nearest Road
100m
Amenities
Description
GOROFA LA
APARTMENT LINAUZWA KIGAMBONI - KISOTA
Fursa adhimu ya uwekezaji Kigamboni! Ghorofa hili lina mfumo wa apartment 4, kila apartment ikiwa na:
Vyumba 2 vya kulala
Sebule kubwa
Dining
V
Jiko
Boma limejengwa kwa ubora mkubwa na lina uwezo wa
kuongezwa hadi floor 3.
Kwa sasa limeandaliwa kwa mfumo wa floor 2.
Eneo la kiwanja ni zaidi ya Sqm 300.
Limepimwa na lina Hati Safi ya Wizara ya Ardhi.
Mita 100 tu kutoka barabara ya lami.
Lipo Kigamboni Kisota upande wa Kisiwaani.
$
Mapato ya upangishaji:
Apartment za kawaida (Unfurnished): Tsh 600,000 -
800,000 kwa mwezi kwa kila nyumba.
Apartment za Furnished: Tsh 1,500,000 - 2,500,000
kwa mwezi kwa kila nyumba.
Bei: Tsh 200,000,000/= (Mazungumzo yapo)
Ni uwekezaji mzuri kwa mapato ya kila mwezi na
ongezeko la thamani ya mali siku zijazo.
Service Charge: Tsh 30,000/= kwa ajili ya kuoneshwa















