Office Space for Rent in Kinondoni, Dar Es Salaam

Amenities
Description
🏢 SPACE FOR RENT – KINONDONI 🏢
📍 Kinondoni – Inatazama barabara ya lami
💰 Kodi: TSH 2,500,000 kwa mwezi
✨ Features:
✅ Full A/C
✅ Umeme wa kujitegemea
✅ Parking ya kutosha
✅ Mwonekano mzuri wa biashara (frontage kwenye lami)
Inafaa kwa ofisi, showroom, clinic, kampuni, boutique, benki ndogo, au biashara nyingine zinazohitaji eneo la hadhi.
📞 Wasiliana: 0678512666
💵 Service Charge: TSH 30,000
🚀 Usikose nafasi hii ya kipekee katika moja ya maeneo bora ya Kinondoni!















