Office Space for Rent in Kinondoni, Dar Es Salaam
Description
π’ OFFICE SPACE INAPANGISHWA β KINONDONI π
Unatafuta ofisi yenye mazingira mazuri ya kazi? Hii ndiyo nafasi yako!
β
Bei: TSh 800,000 kwa mwezi
β
Eneo zuri na linalofikika kwa urahisi
β
Linafaa kwa kampuni, taasisi, agency, consultancy na biashara mbalimbali
β
Mazingira tulivu na ya kitaalamu
π° Service Charge: TSh 30,000
π Call: kwa maelezo zaidi au kupanga muda wa kuja kuona ofisi.
Dalali Chidy β Tunakupatia office space inayokufaa!















