Plot for sale at Kigamboni, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 40,000,000

Description

Eneo lenye ukubwa wa #Sqm2400 linauzwa

Mahali ni Kigamboni#Kisota

Tunauza kwa ukubwa utakao taka mteja

Ukubwa kuanzia #Sqm400, #Sqm500 na #Sqm700

BEI= #Sqm400 =millioni 40,000,000
#Sqm500 = Millioni 50,000,000
#Sqm700= Millioni 70,000,000

Umiliki wake, Eneo liko #Approved hati yake haijatoka, Hivyo utakapo nunua utafatilia hati wizarani

Umbali kutoka lami ni mita 100 tu. Na kutoka ferry ni km7 na kutoka darajani ni km5 tu.

*Nipigie kwa mahitaji na mawasiliano zaidi. 0656775637 & 0755489848