Plot for sale in Tabata Bonyokwa JKT, Dar Es Salaam sqm 2600

Plot Size
2600 SQM
Description
🏡 KIWANJA KIKUBWA KINAUZWA – TABATA BONYOKWA JKT 🏡
Kipo maeneo ya Tabata Bonyokwa JKT ambapo kuna kiwanja kizuri sana kinauzwa kwa bei rafiki kabisa.
Kiwanja kina ukubwa wa Sqm 2,600 na kina hati miliki halali.
✅ Kina msingi wa fence
✅ Eneo ni tambarare kabisa
✅ Barabara nzuri na panafikika bila shida kipindi chote
✅ Karibu na huduma zote muhimu za kijamii
📍 Location: Tabata Bonyokwa JKT
* Karibu na Tabata Segerea mwisho V/Bank
* Takribani njia ya tatu kutoka Bonyokwa Mwisho Stand
Kiwanja hiki kinafaa kwa:
🏨 Hotel
🏥 Hospitali
🏫 Shule
🏢 Nyumba za biashara / apartments
🕌 Nyumba za ibada
🏠 Makazi binafsi yenye eneo kubwa
💰 Bei: Milioni 125 tu
📄 Hati miliki ipo
💼 Service charge / Gharama ya huduma: 30,000/=
Karibu ofisini upate maelezo zaidi na kufanya uwekezaji wenye thamani.
📞 Muhitaji piga: +255688412890
✨ Dalali wako Wakishua ✨















