Residential Plots for Sale in Kimbiji kwa Chale, Buyuni ( Mti mweupe), Dar Es Salaam

Type
Residential Plot
Nearest Road
200m
Installment
Available
Amenities
Description
๐ผ Uwekezaji Bora Una Anza na Uamuzi wa Leo!
๐Kila siku inayopita, thamani ya ardhi inaendelea kupanda kwa kasi, hasa katika maeneo yanayokua na kuendelezwa kwa haraka. Hii ina maana kuwa ukiwekeza leo, unajiwekea msingi imara wa faida kubwa kesho โ iwe ni kwa kujenga, kuuza au kuhifadhi thamani ya fedha zako.
๐๏ธ Tunakupa maeneo yaliyochaguliwa kwa umakini, karibu na miundombinu muhimu kama barabara na huduma za kijamii, ili kuhakikisha uwekezaji wako unakuwa na tija ya kweli.
๐ Nyaraka zetu ni halali na salama, hivyo unakuwa na amani ya moyo ukijua umenunua sehemu yenye uhakika.
๐ธ Pia tunatoa mfumo rafiki wa malipo ya awamu, ili kila mtu aweze kumudu kumiliki ardhi bila presha.
Hii siyo tu kununua kiwanja, bali ni kuwekeza kwenye maisha yako ya baadaye na familia yako. Miradi ๐Kimbiji kwa Chale ๐ Mita 200 tu kutoka barabara kuu
๐ Mita 600 kutoka baharini
๐ฐ Bei ni sh 30,000 kwa sqm
โ
Anza na down payment ya 20% tu
๐ Lipa kidogo kidogo hadi miezi 18 ๐Buyuni ( Mti mweupe) KM 2 kutoka beach ๐ KM 1 kutoka main road ๐ฐBei ya mita Moja ya mraba ni sh 17000 cash ๐ต Kwa malipo ya installment mita Moja ya mraba ni sh 19000 ๐Malipo ya kidogo kidogo ni ndani ya miezi 24 ๐Kumiliki ardhi ni kuandaa kesho ya vizazi na vizazi #ArdhiSalama #PlotForSale #MalipoKwaAwamu #ChukuaHatua #BeiRafiki
