Residential Plots for Sale in Kimbiji kwa Chale, Buyuni ( Mti mweupe), Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 30,000 per sqm

Type

Residential Plot

Nearest Road

200m

Installment

Available

Amenities

Near Paved Road
Near Road
Near Beach
Surveyed Land

Description

๐Ÿ’ผ Uwekezaji Bora Una Anza na Uamuzi wa Leo!
๐Ÿ€Kila siku inayopita, thamani ya ardhi inaendelea kupanda kwa kasi, hasa katika maeneo yanayokua na kuendelezwa kwa haraka. Hii ina maana kuwa ukiwekeza leo, unajiwekea msingi imara wa faida kubwa kesho โ€“ iwe ni kwa kujenga, kuuza au kuhifadhi thamani ya fedha zako.
๐Ÿ๏ธ Tunakupa maeneo yaliyochaguliwa kwa umakini, karibu na miundombinu muhimu kama barabara na huduma za kijamii, ili kuhakikisha uwekezaji wako unakuwa na tija ya kweli.
๐Ÿ“„ Nyaraka zetu ni halali na salama, hivyo unakuwa na amani ya moyo ukijua umenunua sehemu yenye uhakika.
๐Ÿ’ธ Pia tunatoa mfumo rafiki wa malipo ya awamu, ili kila mtu aweze kumudu kumiliki ardhi bila presha.
Hii siyo tu kununua kiwanja, bali ni kuwekeza kwenye maisha yako ya baadaye na familia yako. Miradi ๐Ÿ“ŒKimbiji kwa Chale ๐Ÿ“ Mita 200 tu kutoka barabara kuu
๐ŸŒŠ Mita 600 kutoka baharini
๐Ÿ’ฐ Bei ni sh 30,000 kwa sqm
โœ… Anza na down payment ya 20% tu
๐Ÿ“† Lipa kidogo kidogo hadi miezi 18 ๐Ÿ“Buyuni ( Mti mweupe) KM 2 kutoka beach ๐Ÿ– KM 1 kutoka main road ๐Ÿ’ฐBei ya mita Moja ya mraba ni sh 17000 cash ๐Ÿ’ต Kwa malipo ya installment mita Moja ya mraba ni sh 19000 ๐Ÿ“ŒMalipo ya kidogo kidogo ni ndani ya miezi 24 ๐Ÿ€Kumiliki ardhi ni kuandaa kesho ya vizazi na vizazi #ArdhiSalama #PlotForSale #MalipoKwaAwamu #ChukuaHatua #BeiRafiki