Residential Plots for Sale in Mwasonga Vumilia Ukooni, Dar Es Salaam (500 sqm)

Amenities
Description
🏡 VIWANJA VINAVYOUZWA – FURSA YA UWEKEZAJI! 🌿KIGAMBONI,MWASONGA VUMILIA UKOONI
Tunauza viwanja vya aina mbili katika eneo zuri na linalokua kwa kasi:
📐 Ukubwa na Bei:
✅ SQM 500 – TZS Milioni 13.5
✅ SQM 1,000 – TZS Milioni 28
💰 Mazungumzo kidogo yapo.
📄 Sifa za Viwanja:
✔️ Vimepimwa na Approved Plan
✔️ Eneo limenyooka na halijawahi kujaa maji
✔️ Mazingira salama na tulivu, yanafaa kwa makazi na uwekezaji
📍 Umbali:
🚗 Kilomita 2 kutoka barabara ya lami
⛴️ Kilomita 18 kutoka Ferry
🌉 Kilomita 17 kutoka Daraja la Nyerere
🏫 Huduma za Kijamii:
💧 Maji
⚡ Umeme
🏥 Hospitali
🏫 Shule
🛒 Huduma nyingine muhimu zinapatikana kwa urahisi.
Karibu sana kwa wawekezaji na wanaotafuta eneo bora la kujenga makazi yao.
📞 0769554221
📍Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio













