Residential/Commercial Plot for Sale in Tabata Kinyerezi Mwanzo Mgumu, Dar Es Salaam (270 sqm)
Amenities
Description
#Repost dalali_mchina_tabata_kinyerezi
ββ
Kiwanja kinauzwa bei milion 7. Ukubwa wa eneo la kiwanja square meter 270. Eneo zuri sana pia kuna barabara ya mtaa ipo pia na nguzo ya umeme ipo karibu sana kama unavyo ona. Hapa unaweza jenga nyumba ya makazi pamoja na fremu kibiashara a apartment za kupangisha na kazarika..., Hii eneo la kiwanja lipo maeneo ya tabata kinyerezi mwanzo mgumu dar es salaam
Piga sim kwa maelezo zaidi
Calls/whatsapp au
Ndugu mteja changamuka eneo aikaiππββοΈππββοΈ
Service charge tsh 50000















