Retail Space for Sale in Kimara, Ubungo, Kibamba, Dar Es Salaam







Description
TANGAZO LA FURSA YA BIASHARA 🏪✨
Unataka kuanzisha biashara au kupanua biashara yako?
Hii ni fursa nzuri kwako! 🔥
Unapata vifaa vyote vifuatavyo kwa bei ya Tsh 1,300,000/= tu:
1. 🏪 Banda lenye urefu wa mita 10 na upana wa mita 5 — 10×5
2. 🍎 Standi ya matunda
3. ⛱️ Turubai/Car Shade quality kwa ajili ya kivuli mbele ya banda
4. 🔥 Jiko la chapati la mkaa — linapika hadi chapati 10 kwa mara moja
5. 🗄️ Kabati la Aluminium
6. 🪑 Kiti 1
💰 Bei ya kila kitu: Tsh 1,300,000/=
Ni fursa nzuri kwa anayetaka kuanza au kuongeza vifaa katika biashara yake bila gharama kubwa.
📸 Picha za vitu vyote zinapatikana hapa chini.
📞 Kwa mawasiliano na maelezo zaidi, wasiliana nasi.
USIKOSE FURSA HII! 🔥🔥



