Farm for Sale in Kibaha Misugusugu, Pwani (15436 sqm)
Amenities
Description
Eneo hilo linauzwa lipo Kibaha Misugusugu
lina ukubwa wa sqm 15,436
sawa na Heka4 kasoro kidogo sana
kutoka barabara kubwa ya Morogoro Road mpaka lilipo hili eneo ni mita 800
eneo hili limezungushiwa fensi baadhi na sehem iliyobaki imezungushiwa senyenge
ndani kuna nyumba za wafanyakazi na Banda kubwa la ufugaji wa kuku
umeme upo,maji yapo na kisima kikubwa.
mmiliki ni mmoja
na lina Hati ya kisasa ya wizara
mwenyewe anauza mil 870
kwa bei hii anayouza na eneo mahali lilipo yani ni sawa na bure
mwenyewe ameamua kufanya bei hiyo ili apate pesa kwa haraka
kazi hii ni nzuri sana na imenyooka
haina konakona kukagua mda wowote hakuna masharti
Karibu mwekezaji
CALL,WHAT'S APP




