Farm for Sale in Kiromo, Pwani (20 acre)

Description
SHAMBA LILILOENDELEZWA,EKA 20,TSHS.200 MILIONI,KIROMO-BAGAMOYO.
Lipo umbali wa kilomita 63 kutoka
Dar es salaam Mjini.
Na kiilomita 5 tu kitoka Barabara ya Bagamoyo.
HIVYO NI MJINI KABISA.
Ndani yake kuna:
●Nyumba 2 kila moja inajitegemea.
●Go-down/Ghala la Kuhifadhi Mazao
●Mabanda ya Kufugia Ng'ombe
●Mabanda ya Kufugia Kuku
●Mabwawa Makubwa (2) ya
Kufugia Samaki (Na Samaki Hai wapo)
●Miti ya Mbao pamoja na Miti ya Matunda kadhaa.
Wahi chukua hili uendeleze Kilimo na
Ufugaji sehemu ambayo
Mazingira,Miundo-mbinu tayari ipo,
Kubwa zaidi ni jirani na Dar Mjini au Bagamoyo.
___________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
____________________/mpg

