Farm for Sale in Kiwangwa, Pwani (10 acre)









Type
Farm
Bedrooms
4
Plot Size
10 ACRE
Nearest Road
2km
Description
Shamba la ekari 10 pamoja na nyumba 2 kubwa zinauzwa
_____
Location kiwangwa Bagamoyo
_____
Kuna nyumba 2 kubwa zenye kila kitu ndani na godauni la kuhifadhia mazao
_____
Na kuna nyumba 1 nyengine ya vyumba 4 ya wafanya kazi
______
Pia kuna boma kubwa la ufugaji lipo kwenye Rental
______
Na kuna nyumba ya udongo ya chumba kimoja ya wafanya kazi pia
_____
Pia shamba lina mazao kama Mananasi,Miembe,Migomba,Mipapai,Mifenesi,mihogo , mahindi na mikorosho
______
Shamba ni zuri sana lipo tambalale
______
Barabara ipo hadi shamba
______
Lipo umbali wa kilometa 2 kutoka kiwangwa mjini na ilipo barabara kuu ya lami
______
Vyote kwa pamoja vinauzwa shilingi 70 milioni
______
Wahi sasa ulipate hili shamba utakuja kunishukuru
_____
Call and WhatsApp +255713928950
#dalali_bagamoyo
#bagamoyoproperty
#realestatetanzania





