Farm for Sale in Magole Farm, Morogoro (11 acre)

Amenities
Description
šæ SHAMBA BORA LINAUZWA ā MAGOLE FARM, KILOSA MOROGORO šæ
UKUBWA WA SHAMBA HEKALI 11 š·ļø
Fursa adhimu kwa wawekezaji wa kilimo, mifugo na biashara!
š° ššØš¬šš¬: 35šš¢š„
š Shamba linapatikana Magole Farm, njia ya Kilosa. Ukifika Dumila unaingia kilomita 9 tu kufika shambani. Eneo liko katika ukanda wa Magole, Kilosa, Morogoro.
ā
Ndani ya shamba kuna: š Nyumba š¢ Majengo mbalimbali š° Kisima cha maji š§ Matanki ya kuhifadhia maji šļø Mabanda ā” Generator
Shamba lina miundombinu muhimu tayari kwa kuendelea na shughuli za kilimo, ufugaji au uwekezaji mwingine wa kibiashara.
šš: Site visit fees 100,000/=
ššš„š„ š: 0678 517 158 0785 517 158
Usikose fursa hii ya kumiliki shamba lenye maendeleo tayari kwa bei nafuu. Wahi kuwasiliana nasi kwa maelezo zaidi na kupanga kutembelea eneo husika. š±š”š

