Search

Farm for Sale in Mikese Lubungo, Morogoro

Mikese, Morogoro
26 days ago
Sh. 20,000,000

Amenities

Free Site Visit
Borehole
Fertile Land

Description

๐ŸŒฟ ๐—™๐—จ๐—ฅ๐—ฆ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—œ๐—ฃ๐—˜๐—ž๐—˜๐—˜ ๐—ฌ๐—” ๐—จ๐—ช๐—˜๐—ž๐—˜๐—ญ๐—”๐—๐—œ โ€“ SHAMBA LINAUZWA, ๐— ๐—œ๐—ž๐—˜๐—ฆ๐—˜ ๐—Ÿ๐—จ๐—•๐—จ๐—ก๐—š๐—ข MOROGORO ๐ŸŒฟ

Je, wewe ni ๐—บ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ถ๐—บ๐—ฎ,๐—บ๐—ณ๐˜‚๐—ด๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—บ๐˜„๐—ฒ๐—ธ๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ๐—ท๐—ถ? Hii ni nafasi ya kumiliki shamba lenye uwezo mkubwa wa kuzalisha na kukuingizia kipato.

๐Ÿ“ Shamba lipo ๐— ๐—ถ๐—ธ๐—ฒ๐˜€๐—ฒ ๐—Ÿ๐˜‚๐—ฏ๐˜‚๐—ป๐—ด๐—ผ,๐— ๐—ผ๐—ฟ๐—ผ๐—ด๐—ผ๐—ฟ๐—ผ, upande wa kushoto ukitokea Morogoro kuelekea Dar es Salaam. Kutoka barabara kuu ni umbali wa ๐—ธ๐—บ.2.5 tu, na linafikika kwa urahisi mwaka mzima.

โœ… Ardhi yenye rutuba inayofaa kwa kilimo cha mazao mbalimbali. โœ… Eneo bora kwa ufugaji wa ng'ombe, mbuzi, kondoo, kuku na mifugo mingine. โœ… Kuna kibwawa chenye maji kwa ajili ya umwagiliaji na matumizi ya mifugo. โœ… Mazingira tulivu na salama yenye fursa kubwa ya maendeleo na uwekezaji. โœ… Linafaa kwa kuanzisha shamba la kisasa, ranchi, bustani za matunda au mradi mwingine wa kilimo na ufugaji.

๐Ÿ’ฐ ๐—•๐—ฒ๐—ถ: ๐—ง๐—ฆ๐—ต ๐— ๐—ถ๐—น๐—น๐—ถ๐—ผ๐—ป.20 tu (maongezi yapo).

๐Ÿ“ž ๐— ๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ป๐—ผ: 0678 517 158 / 0785 517 158

๐Ÿš— ๐—ž๐˜‚๐˜๐—ฒ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—ฎ ๐˜€๐—ต๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ: Ada ni ๐—ง๐—ฆ๐—ต 50,000/=.

Usikose fursa hii ya kuwekeza kwenye ardhi yenye thamani inayoongezeka kila siku. Wasiliana na Dalali Mshiu โ€“ The Best in Town โ€“ kupanga ziara ya kutembelea shamba leo!

Similar properties in Mikese, Morogoro