Farm for sale in Morogoro acre 2


Plot Size
2 ACRE
Nearest Road
100m
Amenities
Description
šØ SHAMBA LINAUZWA ā FURSA YA UWEKEZAJI! šØ
š° Bei: Milioni 12 Tu
Shamba lenye ukubwa wa hekari 2 linauzwa kwa bei nafuu. Lipo eneo zuri na lenye maendeleo, umbali wa mita 100 tu kutoka barabara kubwa.
ā
Umeme umeshafika eneo husika
ā
Maji yanapatikana kwa kuchimba kisima
ā
Linafaa kwa kilimo, makazi au uwekezaji wa baadaye
ā
Mazingira mazuri na rahisi kufikika
š Kwa maelezo zaidi na kutembelea eneo, piga simu: 0678 517 158 / 0785 517 158
š”š: š²ššš¾ ššššš 50,000/=
Wahi sasa kulichukua kabla halijapata mnunuzi mwingine! š±š”š¼















