Farm for sale in Mwasonga, Kigamboni, Dar Es Salaam acre 9

Plot Size
9 ACRE
Amenities
Description
πΏ SHAMBA KUBWA LINAUZWA β KIGAMBONI MWASONGA, DAR ES SALAAM πΏ
Unatafuta eneo kubwa kwa ajili ya kilimo, ufugaji au kuendeleza mradi wa viwanja? Hili ndilo chaguo sahihi!
π Mahali: Mwasonga, Kigamboni β Dar es Salaam
πΎ Ukubwa: Ekari 9
π° Bei: Milioni 23 kwa kila ekari (mazungumzo yapo)
β
Umeme upo site
β
Barabara inafikika mwaka mzima, hata kipindi cha mvua
β
Eneo tambarare na linafaa kwa kilimo, ufugaji na uwekezaji wa kugawa viwanja
β
Mazingira yanaendelea kukua kwa kasi na yana fursa kubwa za maendeleo. (Prime Ministerβs Office)
π Wasiliana nasi leo kupata taarifa zaidi na kupanga kwenda kuliona eneo.
πΌ Service Charge: TZS 30,000
π² Instagram: @dalali_kigamboni_plots_forsale
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni






