Search

Farm for sale in Mwasonga, Kigamboni, Dar Es Salaam acre 9

video thumbnail
Sh. 23,000,000/acre

Plot Size

9 ACRE

Amenities

Electricity
Flat Land

Description

🌿 SHAMBA KUBWA LINAUZWA – KIGAMBONI MWASONGA, DAR ES SALAAM 🌿

Unatafuta eneo kubwa kwa ajili ya kilimo, ufugaji au kuendeleza mradi wa viwanja? Hili ndilo chaguo sahihi!

πŸ“ Mahali: Mwasonga, Kigamboni – Dar es Salaam
🌾 Ukubwa: Ekari 9
πŸ’° Bei: Milioni 23 kwa kila ekari (mazungumzo yapo)

βœ… Umeme upo site
βœ… Barabara inafikika mwaka mzima, hata kipindi cha mvua
βœ… Eneo tambarare na linafaa kwa kilimo, ufugaji na uwekezaji wa kugawa viwanja
βœ… Mazingira yanaendelea kukua kwa kasi na yana fursa kubwa za maendeleo. (Prime Minister’s Office)

πŸ“ž Wasiliana nasi leo kupata taarifa zaidi na kupanga kwenda kuliona eneo.

πŸ’Ό Service Charge: TZS 30,000

πŸ“² Instagram: @dalali_kigamboni_plots_forsale

#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni