Farm for Sale in Nakakongo Mtyangimbole, Ruvuma (20 acre)
Description
SHAMBA LILILOSAFISHWA LINAUZWA
Location, Nakakongo Mtyangimbole Songea
Shamba lipo eneo nzuri sana na lenye rutuba ya kuzalisha mazao.
Shamba hili limeanzia barabarani mbaka mtoni ambapo mtoni kuna mto usiokauka mwaka mzima
Mazao ambayo yanaweza zalishwa hapa ni kama vile mahindi, maharage, mbaazi, viazi vitamu, tumbaku pia mazao ya mbogamboga kama vile nyanya, vitungu, hoho, karoti, pilipili, bamia nk
Shamba lipo tambalale na linalimika hata kwa trecta pia unaweka fanya hata kilimo cha ufugaji
Ukubwa wake ni hekari 20 za pamoja
Umbali kutoka lami ya Njombe Road ni km 15 tu na barabara inapitika mwaka mzima hata kwa gari ndogo.
Documents, Zipo na Anauza mmiliki halali hakuna MGOGOLO WOWOTE ULE
Bei ni 250000 kwa ekari moja 70×70
Maongezi yapo tutafanyia shambani
Kwenda shamba 30000
Kwa maelezo zaidi gusa link hiyo chini👇
https://wa.link/8irs4n
CALL& WHATSAPP 0682975711
SAVE DALALI SMART SONGEA 🤳
