Shop for Rent in Mwananyamala, Dar Es Salaam
Amenities
Description
π’ FREM KUBWA INAPANGISHWA β MWANANYAMALA π
Unatafuta sehemu bora ya kuendeshea biashara yako? Hii ndiyo nafasi sahihi!
β
Bei: TSh 1,000,000/= kwa mwezi
β
Frem kubwa yenye nafasi ya kutosha
β
Inatazama barabara ya lami
β
Inafaa kwa biashara yoyote
β
Eneo lenye muonekano mzuri na linalofikika kirahisi
π° Service Charge: TSh 30,000/=
π Wahi kupiga simu: 0787093748
Dalali Chidy β Tunakusaidia kupata frem inayokufaa kwa biashara yako.















