Shop for Rent in Sinza, Dar Es Salaam


Description
🔥 FREM INAPANGISHWA – SINZA 🔥
Unatafuta frem ya bei nafuu kwenye eneo zuri la biashara? Hii hapa nafasi yako!
✅ Bei: TZS 500,000/= kwa 300,000/= kwa mwezi
✅ Frem nzuri na yenye muonekano mzuri
✅ Eneo zuri na lenye shughuli nyingi za biashara
✅ Inafaa kwa biashara yoyote
✅ Mazingira mazuri kwa ukuaji wa biashara yako
💰 Service Charge: TZS 30,000/=
📞 Call: 0787093748
Usichelewe! Wahi kuwasiliana nasi na ujihakikishie nafasi hii kabla haijachukuliwa.















