Search

Residential Plots for Sale in Kimbiji, Buyuni, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 30,000/sqm

Description

Mpangilio bora wa ramani ni mwanzo wa maisha bora! โœจ
Fikiria kiwanja chako kikiwa kimepangwa vizuri โ€“ unajenga nyumba ya kisasa na ya kuvutia, unaweka bustani ya kijani inayopendeza ๐ŸŒฟ, sehemu ya maegesho yaliyo salama, na hata mabanda ya mifugo kwa shughuli zako za kiuchumi ๐Ÿ„๐Ÿ”
Hapa ndoto zako zinapata nafasi ya kutimia kwa uhuru bila kubanwa! Kila kipande cha ardhi kimezingatia matumizi yako ya sasa na ya baadaye.
Usikubali kubaki nyuma wakati wengine wanajipanga kwa kesho yao. MIRADI
๐Ÿ“ŒKIMBIJI KWA CHALE
๐Ÿ“ Mita 200 tu kutoka barabara kuu
๐ŸŒŠ Mita 600 kutoka baharini
๐Ÿ’ฐ Bei ni sh 30,000 kwa sqm
โœ… Anza na down payment ya 20% tu
๐Ÿ“† Lipa kidogo kidogo hadi miezi 18
๐Ÿ“ BUYUNI (MTI MWEUPE), Kigamboni โ€“ Dar es Salaam
โœ” Km 2 kutoka Baharini
โœ” Km 1 kutoka Barabara kuu
๐Ÿ’ฐ Bei Maalum:
โ€ข Tsh 17,000 kwa mita ya mraba (Cash)
โ€ข Tsh 19,000 kwa mita ya mraba (Installment)
โœ” Malipo kwa awamu hadi miezi 24
๐Ÿ“Tunapatikana Makumbusho jengo la Dermplaza floor ya 11
๐Ÿ“žWasiliana nasi +255 748 303 601
๐Ÿ€Karibu uchague kiwanja chenye ukubwa unaokufaa, anza safari ya kumiliki ardhi yako leo! ๐Ÿก
#MilikiArdhi #MaishaBora #UwekezajiSalama #NyumbaYakoNdoto #ChaguaKiwanja FutureStartsNow