Plots for sale in Kimbiji, Dar Es Salaam
Installment
Available
Amenities
Description
🚨 HATIMAYE IMEFIKA! 🚨
Tunajivunia kutambulisha MRADI MPYA kabisa wa viwanja – KIMBIJI, DAR ES SALAAM! 🌴🏡
Hili si eneo la kawaida. Ni eneo lenye ukuaji wa kasi na lililo karibu na huduma muhimu kama barabara, shule, hospitali, umeme, maji na mahitaji mengine ya kila siku, hivyo linafaa kwa makazi na uwekezaji wa muda mrefu. (DAWASA)
📍 Kama umekuwa ukisubiri fursa sahihi ya kumiliki kiwanja chenye thamani inayoongezeka kila mwaka, huu ndio wakati wako.
✅ Eneo zuri
✅ Hati salama
✅ Mazingira tulivu
✅ Bei za uzinduzi zitakazokufanya ujivunie kufanya maamuzi mapema.
💸💰BEI KWA SQM NI
20,000/= CASH NA 23,000/= KWA MALIPO YA AWAMU ( KULIPA KIDOGOKIDOGO) MPAKA MWAKA UNAANZA KWA KULIPA MILLION MOJA PEKEE NA ILIYOBAKI UTALIPA KIDOGOKIDOGO MWAKA MZIMA / MIEZI 12 NA PIA VIWANJA VINA UKUBWA TOFAUTI TOFAUTI
Usisubiri hadi wengine waanze kujenga ndipo ujute.
Kuwa miongoni mwa watu wa kwanza kuchagua eneo lako kabla ya viwanja bora havijaisha.
🚙RATIBA YA KWENDA SITE
Kila siku : Jumatatu - Jumapili
Muda: SAA 9:00 asubuhi - 11:00 jioni
-
☎️Tupigie simu :
au
Fuatilia ukurasa wetu @malengo_property_ltd
🏢Tembelea Ofisi zetu: ab plaza kisota maweni floor no 1 opposite kisota & aboud jumbe secondary school
📞 Wasiliana nasi sasa kupanga FREE SITE VISIT na ujionee mwenyewe kwa nini Kimbiji ndiyo chaguo la wawekezaji wa leo.
#Kimbiji #DarEsSalaam #Viwanja #Uwekezaji #MalengoPropertyInternationalLimited SiteVisit MilikiKiwanjaLeo















