Plots for sale at Kimbiji, Dar Es Salaam


Installment
Available
Description
MRADI WA VIWANJA â KIMBIJI PUNA, KIGAMBONI ð¥ð¥
Fursa ya kumiliki kiwanja chenye hati kwa bei nafuu!
FAIDA ZA MRADI
â
Umbali wa 30KM kutoka Ferry
â
Viwanja vimepimwa (Survey Approval)
â
Ukubwa wa viwanja kuanzia 382sqm hadi 999.1sqm
â
Barabara za kuingia kwenye site ni nzuri na zinapitika mwaka mzima
â
Huduma muhimu za kijamii zinapatikana karibu
â Umeme
â Maji
â Shule
â Hospitali na huduma nyingine muhimu
BEI NA MFUMO WA MALIPO
ð Cash: Tsh 9,500/= kwa sqm
ð Malipo kwa Awamu: Tsh 12,000/= kwa sqm
â Muda wa kulipa: hadi miezi 18
â Malipo ya kuanzia: Tsh 500,000/= (Unaweza kuweka zaidi ya hapo ikiwa utahitaji)
MAHALI TULIPO
ð Mwenge â Bamaga, Dora Tower, Ghorofa ya 4
Wasiliana Nasi
ð 0768 579 000
ð 0626 783 900
(WhatsApp na Simu zinapatikana)




















