Residential Plots for Sale in Ntyuka, Dodoma


Amenities
Description
📍NTYUKA-Dodoma
BLOCK-AL
Bei ni TSH 9,000 tu kwa SQM 1
✅ Lipa kwa awamu hadi miezi 10
✅ Kianzio ni TSH 1,500,000.tu
📍 Vipo umbali wa KM 10 tu kutoka Dodoma Mjini.
Vimepangwa na kufuatana vizuri kama unavyoona kwenye ramani,
🌄 Mradi upo juu ya mwinuko, ukiwa hapo unapata mandhari nzuri na kuona eneo kubwa la Ntyuka kwa ukaribu zaidi – sehemu tulivu, yenye hewa safi na inayokua kwa kasi.
✅️ panafikika
✅️panafaa kwa makazi na uwekezaji
karibuni sana MARKLAND PROFESSIONALS & REAL ESTATE CO. LTD – your Trusted Land Experts
.
🏡📞 Tupigie au tutumie ujumbe kwa mdaada zaidi Au
Tembelea office zetu zilizopo 📍 Mtendeni Street in Zahir Restaurant Block, Opposite na Maisha club
#chidachintyuka #dodomaviwanja #fyp #overall #lipakwaawamu















