Plots for sale at Pugu, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 3,500,000

Description

Fursa Adimu ya Kumiliki Kiwanja Chako Pugu Station! 🏡✨

Eneo: Pugu Nyuma Tu – Nyuma ya Kituo cha Mafuta cha OLYMPIC PETROL STATION (Pugu Dumpo)
Umbo la Ardhi: Tambarare, Safi Kabisa
Ukubwa: Viwanja 61 vya ukubwa mmoja → Kwanzia Sqm 200 kila kimoja
Bei: Kwanzia Tsh 3,500,000/= tu kwa kila kiwanja
Umbali: Dakika 10 tu kwa miguu kutoka barabara kuu ya lami (meter 50 pekee!)

Faida za eneo hili:
- Miundombinu ipo (umeme, maji ya DAWASCO viko karibu sana)
- Eneo lina maendeleo makubwa tayari – majirani wamejenga na wanaishi
- Panafikika kwa gari zote (hadi mlangoni)
- Eneo zuri, tulivu na salama kwa ajili ya makazi
- Bei ni ya chini sana ukilinganisha na maeneo mengine ya Pugu Station

Hii ni offer safi kabisa – hakuna mchepuko, hakuna gharama za ziada!
Unachohitaji ni kuja uone mwenyewe, ukipenda unalipa na kumiliki leo hiyo.

Site Visit: Tsh 10,000 tu

Piga simu sasa kabla viwanja havijaisha!
📞 0688 412 890
WhatsApp: https://wa.me/255688412890

dalaliwakishua
"Miliki Kesho Yako Leo!" 💪🏾🔑

Vi wanja 61 tu ndio vipo – vinamalizika haraka sana!
Njoo leo, chagua kiwanja chako, na anza kujenga nyumba yako ya ndoto kesho! 🏠❤️

#Viwanja #Dalali #Jenga #Pesa #Hela #DarEsSalaam #2026