Kiwanja kinauzwa Kinyerezi, Dar Es Salaam (400 sqm)

Aina
Kiwanja
Vyumba
1
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
🔥 FURSA ADIMU – KIWANJA KINAUZWA KINYEREZI KWA DITOPILE 🔥
📍 Location: Kinyerezi – KWA DITOPILE
📌 Takriban KM 1 kutoka Kinyerezi Shule
🚗 Barabara inafikika kirahisi kwa gari, bodaboda au pikipiki
⸻
📐 Ukubwa: Square Meter 400 (20 x 20)
🏠 Ndani kuna nyumba yenye:
• Chumba kimoja
• Sebule
👉 Unaweza:
✅ Kuishi mwenyewe mara moja
✅ Kupangisha na kupata kipato
✅ Kubomoa na kujenga nyumba ya kisasa ya ndoto zako
🌳 Eneo ni tulivu, neighbourhood imetulia sana
💧⚡ Huduma zote za msingi za kijamii zipo na zinapatikana bila shida
💰 Bei: Milioni 17 (Mazungumzo yapo kidogo)
Karibu sana ndugu mwekezaji au mfanyabiashara.
Hii ni fursa nzuri kwa mwenye mtaji wa kuanzia au anayetaka eneo la kujenga makazi yake.
📞 Piga simu 0688412890 leo kabla halijaondoka!
