Kiwanja kinauzwa Kinyerezi, Dar Es Salaam (400 sqm)

video thumbnail
Sh. 17,000,000

Aina

Kiwanja

Vyumba

1

Ukubwa

400 SQM

Barabara ya Karibu

1km

Huduma na Sifa

Sebule
Karibu na Barabara
Umeme
Maji

Maelezo

🔥 FURSA ADIMU – KIWANJA KINAUZWA KINYEREZI KWA DITOPILE 🔥

📍 Location: Kinyerezi – KWA DITOPILE
📌 Takriban KM 1 kutoka Kinyerezi Shule
🚗 Barabara inafikika kirahisi kwa gari, bodaboda au pikipiki



📐 Ukubwa: Square Meter 400 (20 x 20)
🏠 Ndani kuna nyumba yenye:
• Chumba kimoja
• Sebule

👉 Unaweza:
✅ Kuishi mwenyewe mara moja
✅ Kupangisha na kupata kipato
✅ Kubomoa na kujenga nyumba ya kisasa ya ndoto zako

🌳 Eneo ni tulivu, neighbourhood imetulia sana
💧⚡ Huduma zote za msingi za kijamii zipo na zinapatikana bila shida

💰 Bei: Milioni 17 (Mazungumzo yapo kidogo)

Karibu sana ndugu mwekezaji au mfanyabiashara.
Hii ni fursa nzuri kwa mwenye mtaji wa kuanzia au anayetaka eneo la kujenga makazi yake.

📞 Piga simu 0688412890 leo kabla halijaondoka!