House for rent at Ubungo, Dar Es Salaam


🗯️ Nyumba Mpyaaa, UBUNGO MAKOKA!!
📍250,000/= ×6
_____
_______
• Sebule Kubwa
• Chumba Master
• Jiko Kubwa
• Public Toilet ya Wageni
* Zipo ndani ya Fensi
* Parking ipo
* Inajitegemea UMEME na Maji DAWASA yanaflow Ndani
#Umbali wa KM 2, usafiri wa bajaji upo nauli 700 kutokea Ubungo Riverside au unaweza pitia Kimara Korogwe
#NOTE: Nyumba Zipo Hatua za Mwisho Kikamilika na Zitakuwa Tayari Kuingia Tar. 15 Mwezi wa 7
__________
#Malipo ta Dalali Nasoni ni 250,000/=
#Service Charge 15,000/=
№:- 0753172516