House for sale at Mawasiliano, Morogoro

 media -1
media -1
Sh. 200,000

*KABLA YA KUANZA UJENZI SOMA HAYA MAELEZO KUHUSU MAKADIRIO UTANISHUKURU BAADAE*

Katika Post hii blchomes tunakuelezea vitu vya kuzingatia unapofanya bajeti yako ya kuanza ujenzi au hatua yoyote ya ujenzi, iwe plumbing, wiring, skimming, tiles n.k ⬇️

Usisahau kusave post hii kwani itakusaidia baadae kwa sababu asilimia kubwa ya kazi za ujenzi zinasimama au kuishiaa katikati kwa kukwama hapa

🔰... *Tiririka nayo*⤵️ ➡️

Ukishapewa makadirio ya ujenzi na fundi wako, kitu ambacho inabidi ukiweke kichwani ni kwamba, shughuli za ujenzi zinakubwa na mabadiriko/changamoto nyingi ambazo zitahitaji hela ya ziada ukitoa ile ya makadirio uliyopewa na fundi.

➡️ Changamoto au mabadiriko hayo ni kama vile hali ya hewa(mvua), mabadiriko ya bei ya materials kukosewa kwa makadirio, kuharibika kwa materials katika usafirishaji au utunzaji n.k.

Mabadiriko au Changamoto hizi zote zitahitaji fedha ambazo mara nyingi hazipo kwenye Makadirio ya awali uliyopewa

➡️ Kipi unatakiwa kufanya ukipewa makadirio na fundi ili usikwame? ⬇️ ➡️

Hakikisha makadirio yoyote unayopewa ongeza asilimia 10 mpaka 20 ya ile hesabu uliyopewa ili kuepukana na hizo changamoto.

➡️ Kwa mfano makadirio ni Tsh 2,000,000/= materials pamoja na ufundi .

Basi kabla ya kuanza ujenzi au hatua yoyote ya kuendeleza jengo basi hakikisha una kiasi kisichopungua Tsh 2,200,000. Hii 200,000 ya ziada itasaidia pale changamoto au mabadiriko ya bei yanapoibuka.

Blchomes tunaendelea kufanya ujenzi kuchora ramani na tunakusaidia kufanya makadirio ya gharama za ujenzi wa nyumba yako au jengo lolote

Umeipenda post hii?

Basi like na kushare kwa marafiki ambao unahisi itawasaidia.

Kwa mawasiliano zaidi tupigie au WhatsApp number 0742892195

#ujenzinafuu#ujenziwqnyumba#ujenzighorofa#building#siteprogress#kujenga#3bedrooms#4bedrooms#3bedrooms#ujenzinafuu#ujenzidaressalaam#nyumbazakisasa#nyumbanzurisinza

real estate company _ Tanzania
blchomes_
real estate company _ Tanzania

Similar items by location

3 Bedrooms House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 350,000

FAMILY HOUSE FOR RENT..🥰🥰..✔️ Vyumba 3, sebule,jiko na choo, sitting room,dinning.✔️ UNAJITEGEMEA...

Plot for sale at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 33,000,000

KIWANJA KINAUZWA ILAZO SOUTH JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 779 sq.mKipo kilometer moja toka LAMIMaji/U...

Plot for sale at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 45,000,000

KIWANJA KINA FENSI PANDE ZOTE KINAUZWA ILAZO EXTENSION BLOCK C JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 901 sq.mK...

House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 150,000

APARTMENT MPYA NZURI YA KIBACHELA INAPANGISHWA BEI NI 150,000/= X 6 🌟 APARTMENT HII INA SIFA ZIFUAT...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 250,000

APARTMENT YA KISASA INAPANGISHWA LOCATION:KWA MSUGURI UMBALI KUTOKA STEND DAKIKA 10 KWA MIGUUSIFA ZA...

House for sale at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 150,000,000

LODGE YAKUMALIZIA INAUZWA MAKULU JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 1,026 sq.mIna vyumba kumi na tanoMaster...

House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 150,000

APARTMENT MPYA ZINAPANGISHWA KILUVYA MPAKANI 150K Chumba cha kulala sebule Choo ndaniKodi 150,000 Kw...

House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 150,000

APARTMENT MPYA ZINAPANGISHWA KILUVYA MPAKANI 150K Chumba cha kulala sebule Choo ndaniKodi 150,000 Kw...

2 Bedrooms House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 200,000

HAPA NAPANGISHA KUNA APARTMENT YA VYUMBA VIWILI VYA KULALA SEBURE NA PUBLIC TOILET NA JIKO KODI YAKE...

Plot for sale at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 120,000,000

KIWANJA KINAUZWA USHUANI_______MAHALI-ITEGA_______UMBALI TOKA TOWN-4KM_______UKUBWA WA KIWANJA-2400S...

House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

Apartment kali sanaa @Inapangishwa @Bei 300,000 kwa mwez@Malipo miez 6 na dalali 7@Ni master sebule ...

Retail Space for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 800,000

Fremu zinapangishwa zipo Bahari Beach bei laki 8 ukitaka mbili double zipo karibuni Sana kwa mawasil...

2 Bedrooms House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 500,000

FAMILY HOUSE FOR RENT..🥰🥰..✔️ Vyumba 2, sebule,jiko na choo, sitting room ni kuubwa balaa✔️ wapan...

Plots for sale at Mawasiliano, Morogoro
  • Project

Sh. 7,800,000

VIWANJA VIWILI VIMEUNGANA VINAUZWA MICHESE BLOCK YL/ NYUMA YA SHULE YA ZION JIJINI DOODMAEneo ukubwa...

Plots for sale at Mawasiliano, Morogoro
  • Project

Sh. 15,000,000

VIWANJA VINNE VINAUZWA MPAMAA JIRANI NA LAMI MPYA /DARAJA LA MAVUNDE JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 600...

1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 100,000

Apartment @Inapangishwa @Bei 100,000 kwa mwez@Malipo miez 6 na dalali 7 @Ni chumba kimoja master @Ki...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 350,000

APARTMENTS MPYAA ZINAPANGISHWA KIBAMBA #350k×6===Vyumba 2 vya kulala kimojawapo master bedroom sebul...

House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 180,000

(180,000X3,4,5,6) MBEZIMWISHO NJIA YA MPIJI MAGOHE➖➖➖➖➖➖➖➖➖#MBEZI_MWISHO_NJIA_YA_MPIJIMAGOWE APART...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 350,000

APARTMENTS MPYAA ZINAPANGISHWA KIBAMBA #350k×6===Vyumba 2 vya kulala kimojawapo master bedroom sebul...

House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 700,000

APARTMENT NZURI SANAAA INAPANGISHWA🌱-MNAOPENDA KUKAA DODOMA TOWN__________________📍MAHALI- AREA D_...