1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam


🇹🇿APARTMENT #INAPANGISHWA
📍kimara Mwisho
🕑Dakika 15 Kutembea kutoka kituo cha Mwendokasi Boda boda 1000 Tu hii nyumba unaweza pitia kimara korogwe pia
#SIFAZAKE
🔹Chumba kimoja master kikubwa
🔹Sebule Kubwa
🔹Sehemu ya kupikia
🔹Umeme Sub-Meter Yake
🔹Fence amna Ila mazingira mazuri usalama wa kutosha
🔹Zipo 3 Hapa, Moja hii Iko wazi
🔸Kodi Tsh 150,000/-x5,6(Miezi sita )
🔸Malipo ya Dalali Tsh 150,000/=
🔸Service Charge Tsh 15,000/=
#Piga_simu
0712528820
0685221354
#please #Follow us..🙏
Karibu Sana Mteja☺