3 Bedrooms House for Rent at Kinyerezi, Dar Es Salaam
Nyumba mpya inapangishwa Kinyerezi Njia Ya Airport. (IPO PEKEE YAKE NDANI YA FENCE).
- Vyumba vitatu (kimoja master)
- Sebule
- Jiko (anaweka makabati)
- Public toilet
- A/C anaweka
- Vyumbani anaweka makabati
- Parking
- Paving
- Electric fence anaweka
- CCTV anaweka
Kuingia ni mwezi wa 2 tarehe 15 nyumba itakuwa tayari kwa kuhamia.
Kuona na kulipia ruksa.
Kodi 1,000,000/=.
Muhitaji piga 0688 412 890.