3 Bedrooms House for sale at Kibaha, Pwani


NYUMBA NZURI YA KISASA,VYUMBA 3,TSHS.58 MILIONI. KIBAHA.
Hii nyumba ipo umbali wa kilomita 3 kutoka Barabara ya Morogoro/KIBAHA MAILIMOJA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.950.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
NI NYUMBA YA KISASA YAKUHAMIA.
Vyumba 3 ( Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko,Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_____________mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema Tafadhali.