3 Bedrooms House for sale at Msigani, Dar Es Salaam







NYUMBA YENYE HATI INAUZWA NA BANK, TSHS 150 MILIONI, TEMBONI.
Hapa ni TEMBONI/MSIGANI.
Unaingilia BOCHI Hospitali.
Umbali wa wastani wa mita 500 kutoka Barabara ya Morogoro.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 650.
Vyumba 3 (Masta 1)
Pia Ina Servant's Quarter yenye Vyumba 2.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
_____________jj
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.