3 Bedrooms House for sale at Vigwaza, Pwani


NYUMBA YA VYUMBA 3, INAUZWA NA BANK,
TSHS.10 MILIONI, VIGWAZA.
Ioo umbali wa wastani wa mita 600 tu kutoka Barabara ya Morogoro.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 3 ( masta 1) Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
____________jj
Ipo jirani