4 Bedrooms House for sale in Mbagala, Dar Es Salaam







Nyumba inauzwa ipo mbagala charambe nyumba ya vyumba 4vya Kulala masters bedroom stingiroom daingiroom kitchen toilet Public nyumba ina boikota ya chumba 1 nyumba umeme upo Maji yapo nyumba ina kisima cha Maji nyumba MPYA nyumba ina kivuri cha gari nyumba aipo mbali na Barbara ya rami nyumba ukubwa wa Kiwanja sqm 600 nyumba bei ml 150 CALL 0683491594,0716974073 KWAMAELEZO ZAIDI PIGA CM




















